Mhubiri 4 : 16 Ecclesiastes chapter 4 verse 16

Swahili English Translation

Mhubiri 4:16

Hawakuwa na kikomo hao watu wote, hao wote ambao alikuwa juu yao; lakini hata hivyo wale wafuatao baada yake hawatamfurahia. Hakika hayo pia ni ubatili, na kujilisha upepo.
soma Mlango wa 4

Ecclesiastes 4:16

There was no end of all the people, even of all them over whom he was--yet those who come after shall not rejoice in him. Surely this also is vanity and a chasing after wind.